Nieuws

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kustawisha ustawi wa kidemokrasia ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko. Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Jumuiya ya Mamlaka za Usimamizi wa Usafiri Majini Barani Afrika zimetakiwa kushirikiana na kuungana ili ...
Wakuu wa polisi kutoka nchi sita za Afrika Mashariki na Kati wameahidi kushirikiana kukabiliana na uhalifu wa mtandaoni ambao unaonekana kushika kasi katika ukanda huu. Kauli hiyo imetolewa na ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Jumuiya ya Kampuni zinazohusika na Usambazaji wa Mitungi ya Gesi (LPG) -TZLPGA kwa lengo la kuwashukuru kwa ...
WANANCHI zaidi ya 11,000 wa vitongoji vitatu vya Mbuyuni, Rudewa Batini na Gongoni katika kata ya Rudewa wilayani Kilosa mkoani Morogoro matumaini yao ya kupanua kilimo chenye uhakika cha umwagiliaji ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko. Na Mwandishi Wetu, Mtanza nia Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka Watendaji na Watumishi katika Taasisi ...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi Ofisi Maalum kwa Walipa Kodi Binafsi wa Hadhi ya Juu, ikiwa ni hatua ya kuboresha huduma kwa kundi la walipa kodi wenye mchango mkubwa katika uchumi wa ...
Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo. Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeielekeza Serikali kuendelea na mchakato wa uwekezaji wa bandari huku ikisikiliza maoni yenye ...
Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko. Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko amekutana na wadau na taasisi mbalimbali wa madini kutoa na kupokea maoni ya marekebisho ya ...
Atiki Ally Atiki akiwa katika harakati zake za mchezo wa Mpira wa Kikapu (Picha kwa Hisani ya The Citizen). Na Mwandishi Wetu Imekuwa ni kawaida kwa Shule ya Sekondari ya High View na ya Msingi High ...
NAIBU Waziri wa Fedha,Hamad Hassan Chande amewataka wafanyakazi wa Ofisi za Taifa za Takwimu (NBS) kufanya kazi kwa maarifa, weledi na bidii kubwa huku akiwataka kujiendeleza kielimu. Kauli hiyo ...
NA SALMA JUMA, TANGA USHINDI wa bao 1-0 dhidi ya Wagosi wa Kaya wa Tanga, timu ya Coastal Union jana umeifanya Yanga kujivinjari kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa na pointi 22 katika msimamo ...